У нас вы можете посмотреть бесплатно MBARAWA AWABANA WAKURUGENZI "MMEFUKUZA WOTE NIMEFURAHI SANA MUNGU MKUBWA" или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Waziri wa Maji Profesa Makame Mbalawa ameiagiza Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Mbeya kuendeleza ujenzi wa miradi ya maji Mkoa wa Songwe iliyochelewa kwa muda mrefu kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ya kuwanyang’anya Wakandarasi waliokiuka mikataba ya ujenzi. Agizo hilo amelitoa Mkoani Songwe wakati wa ukaguzi wa miradi inayotekelezwa na serikali kupitia fedha za ndani ambapo ikikamilika wananchi wa Mkoa wa Songwe wataondokana na adha ya ukosefu wa maji.