У нас вы можете посмотреть бесплатно GAMBO AMKIMBIA MAKONDA KWENYE BARAZA, MADIWANI WAMWAGA MACHOZI WATAKA MAKONDA AGOMBEE UBUNGE ARUSHA. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Madiwa wa halmashauri ya Jiji la Arusha wameshangazwa na kitendo cha Mbunge wao kuvua Joho na kulaza mbio baada ya kusikia ujio wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda kwenye kikao hicho cha baraza la madiwani. Aidha Mkuu wa Mkoa aliwataka madiwani hao huwa na maamuzi magumu katika kufanya maamuzi ya maendeleo na kushangazwa na Tendo la kupelekwa Mkuu wa Wilaya katika mkutano wa wananchi na kuambiwa tuhuma ambazo yeye hazijui kwa nia ya kupigana shoti. Kufuatia hatua hiyo Makonda amegeuka mbogo na kumkataza Dc wake kuhudhuri vikao vya Mbunge tena kama havina yija kwa wananchi na maendeleo. @ITVTanzaniaTz @ikulutanzania255 @CLOUDSMEDIA @azamtvtz @CrownMediaTZ @TBC_Online @kitengetv @samiaTV @manaratv__ @Wasafi_Media @NgorongoroConservationArea @tanapapoen @UTALIITV1