У нас вы можете посмотреть бесплатно Alichokisema Wakili wa Sheikh Mbonde Kuhusu Kesi ya Babu Tale или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Alichokisema Wakili wa Sheikh Mbonde Kuhusu Kesi ya Babu Tale KUFUATIA Mkurugenzi wa Kampuni ya Tip Top Connections na Meneja wa mwanamuziki Naseeb Abadul ‘Diamond Platinumz’, Hamis Taletale ‘Babu Tale’, kufikishwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar, kesi yake imeahirishwa na Babu Tale kurudishwa mahabusu Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam mpaka hakimu aliyetoa amri ya kukamatwa kwake atakaporejea. Akizungumza na wanahabari nje ya lango la Mahakama hiyo, Wakili wa Sheikh Mbonde, Mwaisigwa Mihengo anayemdai Babu Tale Tsh. Milioni 250 kwa mujibu wa hukumu ya mahakama amesema hakimu aliyetoa amri ya kumkamata kwa Babu Tale hakuwepo mahakamani ndiyo sababu ya mtuhumiwa huyo kurudishwa rumande. Wakili huyo amesema awali mahakama iliwapanafasi ya kujadili kirafiki na mdaiwa (babu Tale) ili wafikie makubaliano wao wenyewe, lakini walipozungumza hawakuweza kufikiana muafaka hivyo wakaamua kuitarifu mahakama ili sheria ichukue mkondo wake kama ilivyokuwa imeanishwa tangu mwanzo. Kipindi cha nyuma mahakama hiyo ilimwamuru Babu Tale alipe Sh. milioni 250 Mhadhiri wa Dini ya Kiislamu, Sheikh Hashim Mbonde, baada ya kupatikana na makosa ya ukiukwaji wa hakimiliki kwa kutumia masomo yake kibiashara bila ridhaa yake kinyume cha Sheria ya Hakimiliki na Hakishiriki. lnstal GlobalPublishersApp Android: http://bit.ly/2AAQe1d iOS: http://apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .