У нас вы можете посмотреть бесплатно Wafanyikazi wawili wa KAA waonyesha uadilifu kwa kumrejeshea mtalii Ksh. 2.4M или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Wafanyikazi wawili wa mamlaka ya viwanja vya ndege na afisa mmoja wa polisi wanaofanya kazi katika uwanja wa ndege wa Wilson wamepongezwa kwa uaminifu wao baada ya kumrejeshea msafiri zaidi ya shilingi milioni 2.4 alizopoteza akiwa katika uwanja huo. Abiria huyo Benson Nicolson ambaye ni raia wa Uingereza amesema kuwa uaminifu wa watatu hao umedhihirisha ukarimu wa wakenya. Gatete Njoroge amerejea kutoka uwanja wa ndege wa Wilson alikotangamana na maafisa hao waadilifu.