У нас вы можете посмотреть бесплатно FUFUA USIKIVU WA SAUTI YA MUNGU или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
“Fufua Usikivu Wako” (1 Samweli 3:1–11) Kuna watu wengi wako karibu na mambo ya Mungu, lakini hawatambui sauti ya Mungu. Samweli alikuwa hekaluni, lakini mara ya kwanza alidhani anaitwa na Eli mpaka alipofundishwa kujibu: “Nena Bwana, kwa maana mtumishi wako anasikia.” Ndipo Mungu akamkabidhi ujumbe mkubwa. Ujumbe wa leo ni huu: Mungu anataka usikie. Si ibada tu, si kuimba tu, si kuwa kanisani tu bali kuwa mtu wa usikivu na utii. Ukifufua usikivu wako, utaacha kubahatisha; utaanza kuongozwa. Jiulize: sauti ya Mungu imekuwa ikikuita, lakini umeichanganya na sauti ya watu, hofu, au presha? Karibu tusikie pamoja. Andika kwenye comment: “Nena Bwana, nasikia.” Kisha share kwa mtu mmoja anayehitaji mwongozo leo. #FufuaUsikivuWako #1Samweli3 #SautiYaMungu #NenaBwana #Utii #MwongozoWaMungu #VoiceOfHope #VOHOF