У нас вы можете посмотреть бесплатно Mahakama yasitisha utekelezaji wa sheria mpya ya udhibiti wa mitandao или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mahakama imesitisha utekelezaji wa sheria mpya kuhusu udhibiti wa mitandao iliyotiwa saini na rais William Ruto juma lililopita. Hii ni kufuatia kesi iliyowasilishwa mahakamani kupinga sheria hiyo. Haya yanajiri huku viongozi wa kidini wakimkosoa Rais Ruto kwa kutia saini sheria hiyo tata pamoja na ile ya ubinafsishaji wa mashirika ya serikali