У нас вы можете посмотреть бесплатно MAKALA | Msitu wa Chome na maajabu ya matambiko ya Wapare или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Ibada za matambiko kwa baadhiya jamii hapa nchini bazo zinaendelea ingawa kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia pamoja na kutanuka kwa miji baadhi ya jamii imeacha mila hizo. Miongoni mwa makabila yanayoendelea na ibada za kimila ikiwemo matambiko ni jamii ya Wapare wanaopatikana Same mkoani Kilimanjaro ambao baadhi yao hufanya matambiko hayo katikati ya msitu wa Chome ambao mbali ya shughuli hizo pia ni kivutio kikubwa cha utalii. Makala ya Enos Masanja ya Msitu wa Chome unaojumuisha kilele cha Mlima Shengena ina mengi ya kustaajabisha na kuelimisha.