У нас вы можете посмотреть бесплатно Yanayojiri kwenye ziara ya Rais Mwinyi Pemba или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid A. Karume kuelekea kisiwani Pemba kwa Ziara ya siku tatu. Katika safari hiyo pia amefuatana na mkewe Mama Mariam Mwinyi. Pia katika ziara hiyo atashiriki zoezi la ugawaji wa Botii na Mashine kwa ajili ya Wavuvi. Vile vile atapata fursa ya kufutari na Wananchi wa Mikoa yote miwili ya Pemba pamoja na kugawa sadaka ya futari kwa wenye mahitaji maalum.