У нас вы можете посмотреть бесплатно JAMAA WA BODABODA AKAMATWA UCHI AKIBAKA KONDOO HUKU KAVAA VIATU VYA MAMA YAKE. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kijana mmoja ambaye anafanya kazi ya bodaboda katika kata ya Sombetini jijini Arusha amekutwa kwenye zizi la Kondoo akidaiwa kuwabaka akiwa uchi wa nyama huku akiwa na kikopo chenye dawa pamoja na viatu vinavyodaiwa kuwa ni vya mama yake Leng'ina ambaye ni baba mwenye nyumba hiyo amesema kijana huyo alikutwa na vitu mbalimbali na alipoulizwa alidaiwa kwamba ametumwa na mganga baada ya kuulizwa na alikuwa uchi wa mnyama