У нас вы можете посмотреть бесплатно Wafanyibiashara wafunga mpaka wa Kenya Na Tanzania wakilalamikia kuzuliwa kwa malori ya mahindi или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Hali ya Taaruki imetanda kwenye mpaka wa Kenya Na Tanzania katika mji wa Namanga baada ya Wafanyibiashara wa mahindi pamoja na mawakala kufunga mpaka huo wakilalamikia kuzuliwa Kwa malori ya mahindi nchini Tanzania Kwa zaidi ya wiki mbili sasa. Wafanyibiashara hao wanadai kuwa Serikali ya Tanzania imezuia malori zaidi 500 upande wa mpaka wa Tanzania kwasababu hayakuwa na vibali vya kusafirisha mahindi Kutoka Tanzania.