У нас вы можете посмотреть бесплатно MGUTO AJIUZULU, ALMASI KASONGO ASIMAMISHWA KAZI.. YANGA KICHEKO. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Baada ya mvutano wa muda mrefu uliokuwa ukiendelea kati ya timu ya Yanga na viongozi wa bodi ya ligi kuu Tanzania(TPLB) hatimaye leo hii mwenyekiti wa bodi hiyo Steven Mguto amewasilisha barua ya kujiuzulu wadhifa wake. Katika hatua nyingine rais wa shirikisho la mpira wa miguu Tanzania(TFF) Wallace Karia amemsimamisha kazi CEO wa bodi ya ligi Almasi Kasongo. #ligikuutanzania #tff #life #karia #ceo #millardayo #e7bits #yanga #simba #tanzania #crownmedia #wasafimedia #cloudsmedia