У нас вы можете посмотреть бесплатно Simulizi ya mama wa kijana anayedaiwa kupigwa hadi kufa Geita или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mama wa kijana anayedaiwa kupigwa hadi kufa katika Kijiji cha Uyovu, Wilaya ya Bukombe, mkoani Geita, amelitaka Jeshi la Polisi kuwasaka na kuwachukulia hatua watu wengine waliohusika na tukio hilo, kwa kuwa wamehusika katika kupoteza maisha ya mwanaye. Tukio la kuuawa kwa Enock Muhangwa (25) limetokea Juni 23, na video zake zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii zikimuonesha akipigwa huku akiwa amefungwa mikono. #AzamTVUpdates Mhariri | John Mbalamwezi