У нас вы можете посмотреть бесплатно P-Funk Majani ft Conboi Cannabino X Rapcha - Tunashine (Official Music Video) или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
STREAM/DOWNLOAD https://linktr.ee/bongorecordsltd LYRICS Yeah yeah Hatuna kitu tunataka tu-shine So inabidi tu tu-waste no time Polepole elevate tuna’grind Mwendo juu and we never go down Hatuna kitu tunataka tu-shine So inabidi tu tu-waste no time Polepole elevate tuna’grind Mwendo juu and we never go down Dream life iko kwenye pain don’t sleep Ishhh, life linapanda bei sio cheap Wakati Tunarise by lifting others Mabosi wanarise by milking others All the way to the top and no stopping Kufika hapa usiulize tumetoka wapi Maisha magumu yametukuza no cappin Na hivyo ndivyo ambavyo tumejifunza how to rap and Imani kwenye kazi tu Money money careful Jasho likishuka chini tunakwenda Top juu Jasho livujie nini pesa iko perfume Fake wote tunawafinyia chini chapu Nsharuka ukuta nyumbani kurudi usiku Hadi nikafukuzwa ila wala sikuona issue Nkazitafuta ‘coz hata sikuwa na kitu Sasahivi nikishtuka mjengoni najionea peace tu Hatuna kitu tunataka tu-shine So inabidi tu tu-waste no time Polepole elevate tuna’grind Mwendo juu and we never go down Hatuna kitu tunataka tu-shine So inabidi tu tu-waste no time Polepole elevate tuna’grind Mwendo juu and we never go down Tunataka chetu fasta Usiku mzima sie ma hustler Tunataka chetu fasta Usiku mzima sie ma hustler Mtaani tume’chill kwenye corner Mishe nonstop ukiniona J’s on my feet when I’m steppin I’m tryna be good nigga I’m tryna be great and Nkikamata cash ukiniona Niko nimechill na ma’stoner And everyday i’m tryna get more Mpaka tukiumana street wani’treat kama MO Same old hustle just a different ways Nikipost niko site ujue mshkaji I don’t play Wapo wanao’hate I don’t care what you say to me Macho kwenye chedda I’m working like all days in a week Lowkey na siogopi Nshajikoki sidondoki na sichoki Nina force nijaze pochi na minoti Sitaki gossip hapa No Tea Hatuna kitu tunataka tu-shine So inabidi tu tu-waste no time Polepole elevate tuna’grind Mwendo juu and we never go down Hatuna kitu tunataka tu-shine So inabidi tu tu-waste no time Polepole elevate tuna’grind Mwendo juu and we never go down Tunataka chetu fasta Usiku mzima sie ma hustler Tunataka chetu fasta Usiku mzima sie ma hustler Audio produced by: / chznbrainkimani & / majani187 Composer: / majani187 Mixing & Mastering by: / chznbrainkimani Additional Vocals: / naitwasalma & / djsevenworldwide Video directed by: / blackxtz Join Our Family: / majani187 / p_majani #majani #ArtistOnTheRise