У нас вы можете посмотреть бесплатно MWABUKUSI AFUNGUKA KUONDOLEWA KUGOMBEA U-RAIS TLS, ATANGAZA KUFUNGUA KESI MAHAKAMA KUU или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. Dar es Salaam. Sakata la Boniface Mwabukusi kuenguliwa katika kinyang'anyiro cha kuwania rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) limechukua sura mpya baada ya wakili huyo kukusudia kwenda kutafuta haki yake mahakamani. Mbali na hilo, Mwabukusi amewaomba mawakili wenzake kumuunga mkono kwa kutoshiriki uchaguzi wa TLS wakiishinikiza wale wote waliotia nia kuwania nafasi hiyo kurejeshwa na Kamati ya uchaguzi wa chama hicho