У нас вы можете посмотреть бесплатно Usiyoyajua kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar - Uchambuzi wa Awadh Said | Part 2 или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Katika njadala huu uliofanyika siku ya kumbukumbu ya Mapinduzi ya Zanzibar, Wazanzibari walijadili uhalali wa mapinduzi hayo. Miongoni mwa walioalikwa kutoa mada ni pamoja na Tundu Lissu, mwanasiasa na mwanasharia maarufu nchini Tanzania pamoja na Mohamed Said, mtunzi wa vitabu na mwanahistoria maarufu nchini humo. Mwingine ni Wakili Awadh Said wa Zanzibar na katika video hii tunakuletea uchambuzi wake kuhusu dhana nzima ya mapinduzi. Je, ni kweli yalilenga kumtoa mwarabu Zanzibar? Msikilize ujue mengi ambayo hayasemwi kuhusu mapinduzi ya Zanzibar.