У нас вы можете посмотреть бесплатно TRA yavunja rekodi ya makusanyo,yakusanya Trilioni 1.7 kwa mwezi или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imekusanya mapato ya Serikali jumla ya TZS 1.767 trilioni katika kipindi cha mwezi Septemba 2019. Makusanyo haya, ambayo ni sawa na ufanisi wa 97.20% ya lengo letu la kukusanya jumla ya kiasi cha TZS 1.817 trilioni katika kipindi cha mwezi Septemba 2019, hayajawahi kutokea tangu kuanzishwa kwa TRA. Kwa kulinganisha na makusanyo ya mwezi Septemba 2018, makusanyo haya ya mwezi Septemba 2019 yamekua kwa wastani wa 29.18%.