У нас вы можете посмотреть бесплатно WAKE WATATU WA MAREHEMU SAULI WAFUNGUKA WALIVYOKUWA WAKIISHI NAE "ALIKUA ANATUPENDA SANA" или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Hapa ni katika Kijiji Cha Kibaoni wilayani Chunya mkoani Mbeya ambapo ni nyumbani kwa mfanyashara maarufu wa Madini na Mmiliki wa mabasi ya Sauli ambaye sasa ni marehemu Sauli Solomoni Mwahabhila. Marehemu Sauli alifariki Agosti 4 mwaka huu mkoani Pwani kwa ajali ya gari na kuzikwa Katika makaburi ya familia Kijiji Cha Godima huku mtoto wake wa miaka 3 akinusurika katika ajali hiyo. Ayo tv na Millardayo.com imefika Hadi katika Kijiji hicho alipokuwa akiishi marehemu na kuzungumza na wake Watatu wa marehemu wamesema marehemu alikua na Wake wanne na mmoja alifariki hivyo wamebaki Watatu na watoto 16.