У нас вы можете посмотреть бесплатно SIDO Arusha yanaendelea kutikisa utoaji wa Mafunzo ya ujasiriamali/ Vijana wasomi waguswa. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
BADO UNAYO NAFASI YA KUSHIRIKI MAFUNZO MBALIMBALI YA SIDO NA KUWA NA KIWANDA CHAKO MWENYEWE UKAJIAJIRI NA KUWAAJIRI WENGINE INAWEZEKANA LEO PIGA SIMU NO. 0755887323. Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo Nchini SIDO Mkoani Arusha imeendelea na programu yake ya utoaji wa Mafunzo ya Ujasiriamali na ujuzi mbalimbali katika kuwakwamua kiuchumi Wafanyabiashara wadogo kwa kumiliki Viwanda Vidogo na kujiajiri wenyewe nakutoa ajira kwa wengine. Jumatatu ya September 18,2023 Meneja wa SIDO Mkoa wa Arusha Ndg. Jalphary Donge alizindua awamu nyingine ya Mafunzo ya Siku tano (5) ya Utengenezaji wa Vipodozi na Usimamizi wa Biashara yanayoendelea kufanyika katika Ofisi za Shirika hilo Jijini Arusha hapa Mkoani Arusha. Pamoja na Mwitikio wa Vijana kuhudhuria safari hii Vijana Wasomi wa Vituo Vikuu wamekua Mstari wa Mbele katika kushiriki kwneye mafunozo hayo ya kiujuzi ujasiriamali na Usimamizi wa Biashara wakisema wameamua kujiongezea ujuzi nje ya mfumo wa Elimu yao ili kuondokana na tatizo la usakaji ajira kila kukicha badala yake wajiajiri na kutengeneza ajira wenyewe kwa ajili ya Vijana wengine.