У нас вы можете посмотреть бесплатно Makala: Athari za vita vya Iran kwa nchi za Afrika Mashariki или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mgogoro umeenea kote Mashariki ya Kati baada ya Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, kuuawa wakati wa mashambulizi yaliyoanzishwa na Marekani na Israel siku ya Jumamosi ya Februari 28. Iran imejibu kwa kurusha makombora na ndege zisizo na rubani kote katika eneo hilo, ikilenga Israel, Bahrain, Kuwait, Qatar, Falme za Kiarabu (UAE), Jordan, Saudi Arabia, Cyprus pamoja na meli zinazopita katika Mlango wa Hormuz. Ni zipi athari za mgogoro huu kwa nchi za Afrika Mashariki?