У нас вы можете посмотреть бесплатно WAKULIMA NA WAFUGAJI WILAYANI SIKONGE WATAHADHARISHWA JUU YA UWEPO WA MVUA CHACHE. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Kufuatia taarifa ya Mamlaka ya hali ya hewa nchini juu ya uwepo wa mvua za chini ya wastani mwaka huu katika baadhi ya mikoa , Mkuu wa Divisheni ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi Ndg.Aldo Mwapinga ametoa wito kwa wakulima na wafugaji kuzingatia ushauri wa wataalamu wa kilimo na mifugo kwa kulima mazao yanayostahimili ukame pamoja na kupunguza makundi ya mifugo ili kuendana na malisho yaliyopo.