У нас вы можете посмотреть бесплатно Viongozi na Wakazi Mandera wapinga kutengwa kwa ardhi ya Kambi ya Kijeshi или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Wakazi na viongozi wa eneo la Mandera Mashariki wameelezea wamepinga vikali mpango wa kutenga takriban kilomita 49 za ardhi katika eneo la Karo kwa ajili ya kambi ya kijeshi, wakidai kuwa uamuzi huo ulifanywa bila kuhusishwa kwa umma. Viongozi wamesisitiza kuwa ardhi hiyo ni muhimu kwa malisho ya mifugo na ufikiaji wa mto, na kugeuzwa kwake kuwa eneo la jeshi kutahatarisha maisha ya jamii za wafugaji. viongozi hao wametoa wito kwa serikali kusitisha mradi huo hadi suluhu mwafaka itakapopatikana kupitia mazungumzo ya wazi.