У нас вы можете посмотреть бесплатно DKT. SELEMANI JAFO AMEKUWA MWALIMU MZURI SANA WAKATI NIKIWA BUNGENI - JUDITH KAPINGA. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amesema aliyekuwa Waziri wa wizara hiyo, Dk. Selemani Jafo amekuwa mwalimu mzuri kwake kipindi akiwa bungeni. Aidha Waziri Kapinga amemuomba Dk. Jafo kuendelea kutoa ushirikiano kwake ili kutimiza malengo na maono ya Rais Samia Suluhu Hassan ambayo ni kuona biashara zinaendelea kufanyika hususani kwa vijana ambao ndio jicho kuu la serikali.