• ClipSaver
  • dtub.ru
ClipSaver
Русские видео
  • Смешные видео
  • Приколы
  • Обзоры
  • Новости
  • Тесты
  • Спорт
  • Любовь
  • Музыка
  • Разное
Сейчас в тренде
  • Фейгин лайф
  • Три кота
  • Самвел адамян
  • А4 ютуб
  • скачать бит
  • гитара с нуля
Иностранные видео
  • Funny Babies
  • Funny Sports
  • Funny Animals
  • Funny Pranks
  • Funny Magic
  • Funny Vines
  • Funny Virals
  • Funny K-Pop

WAASI M23 WAKINUKISHA CONGO DR, WAMUUA GAVANA KWA KUMPIGA RISASI скачать в хорошем качестве

WAASI M23 WAKINUKISHA CONGO DR, WAMUUA GAVANA KWA KUMPIGA RISASI 1 год назад

скачать видео

скачать mp3

скачать mp4

поделиться

телефон с камерой

телефон с видео

бесплатно

загрузить,

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
WAASI M23 WAKINUKISHA CONGO DR, WAMUUA GAVANA KWA KUMPIGA RISASI
  • Поделиться ВК
  • Поделиться в ОК
  •  
  •  


Скачать видео с ютуб по ссылке или смотреть без блокировок на сайте: WAASI M23 WAKINUKISHA CONGO DR, WAMUUA GAVANA KWA KUMPIGA RISASI в качестве 4k

У нас вы можете посмотреть бесплатно WAASI M23 WAKINUKISHA CONGO DR, WAMUUA GAVANA KWA KUMPIGA RISASI или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:

  • Информация по загрузке:

Скачать mp3 с ютуба отдельным файлом. Бесплатный рингтон WAASI M23 WAKINUKISHA CONGO DR, WAMUUA GAVANA KWA KUMPIGA RISASI в формате MP3:


Если кнопки скачивания не загрузились НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru



WAASI M23 WAKINUKISHA CONGO DR, WAMUUA GAVANA KWA KUMPIGA RISASI

Kivu. Gavana wa Kijeshi wa Jimbo la Kivu Kaskazini, nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Congo (DRC) Meja Jenerali, Peter Cirimwami, amefariki kutokana na majeraha ya risasi alizopigwa wakati akitembelea kikosi kilicho mstari wa mbele kukabiliana dhidi ya kundi la waasi wa M23. Kwa mujibu wa BBC, Ofisa wa Umoja wa Mataifa (jina linahifadhiwa) alidai kuwa mapigano kati ya kikosi cha Jeshi la DRC kilichotembelewa na Cirimwami dhidi ya wapiganaji wa M23, yaliibuka walipokuwa wakijaribu kuuteka mji wa Kivu Kaskazini. Meja Jenerali Cirimwami aliyeliongoza Jimbo la Kivu Kaskazini tangu 2023, alifariki Alhamisi baada ya kujeruhiwa alipokua anawaongoza wanajeshi katika uwanja wa vita takriban Kilometa 20 kutoka mji wa Goma. M23 tayari wameshaanza safari ya kuyateka maeneo ya Mji wa Goma na tayari wameshauteka Mji wa Masisi na Minova nchini DRC. BBC pia imeripoti kuwa raia zaidi ya 200 wameuawa wakiwemo watoto huku zaidi ya raia 200 wa DRC wakitibiwa majeraha yaliyotokana na mabomu yaliyotegwa na wapiganaji hao wa M23 nchini humo. Waasi wa M23 wanasonga mbele kwa haraka kupitia maeneo mawili karibu na mji mkuu wa jimbo, Goma katika eneo lenye ghasia huko DRC, ambako maelfu ya raia wamekua wakikimbia wiki hii na Umoja wa Mataifa ukionya kwamba vita hivyo huwenda vikapanuka nakua vita vya kikanda. Kundi la waasi la Congo River Alliance, (AFC) ambalo ni sehemu ya M23 lilitangaza ljuma kwamba wanapanga kuuteka mji wa Goma, wenye wakazi milioni moja. Maofisa wa DRC na Umoja wa Mataifa wanaishutumu Rwanda kwa kuchochea uasi huo unaondelea kwa miaka mitatu kwa kuwapatia wanajeshi wake silaha kwa ajili ya kuleta machafuko DRC, huku Rwanda ikikanusha madai hayo. “Cirimwami alifariki muda mfupi alipokuwa njiani kwenda Hospitalini Jijini Kinshasa baada ya kupata majeraha makubwa mwilini kutokana na shambulizi hilo.” alisema Msemaji wa Jeshi la DRC, Jenerali, Sylvain Ekenge. Mapigano kati ya kundi la M23 na Jeshi la DRC, yameshika kasi hususan wakati huu ambao waasi wanatajwa kuyateka maeneo mengi kwa kushtukiza. Zaidi ya watu 400,000 wameyakimbia makazi yao mjini Goma kwa mujibu wa Ripoti ya Umoja wa Mataifa. Shirika la Kimataifa la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch, limetoa onyo ya kuibuka kwa matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu maeneo yaliyotwaliwa na waasi hao. Human Rights Watch limeishutumu M23 kukiuka haki za binadamu kwa kutekeleza mauaji dhidi ya raia. Kutokana na machafuko hayo, Rais wa DRC, Félix Tshisekedi amekatisha ziara yake kwenye Jukwaa la Kiuchumi la Duniani linalofanyika Davos nchini Uswis na kuitisha mkutano wa dharura wa maofisa wa usalama nchini humo. Baada ya kikao hicho, Rais Tshisekedi, alitoa maagizo kwa vikosi vya jeshi kutoka kambini na kuelekea maeneo walipo waasi hao kwa ajili ya kujibu mapigo na kuwarudisha nyuma wasiendelee kuvamia maeneo ya taifa hilo. "Rais Tshisekedi ametutaka twende tukapambane nao na kuwarudisha nyuma wasiendelee kusogea kuwavamia wananchi wetu,” alisema Jenerali, Ekenge. Mji wa Goma ulioko mpakani mwa DRC na Rwanda umerejea mikononi mwa waasi hao tangu walipoondolewa eneo hilo na Jeshi la Congo kwa kushirikiana na wapiganaji wa Umoja wa Mataifa mwaka 2012. Barabara zinazoingia na kutoka katika mji huo zimefungwa jambo ambalo limesababisha kukosekana kwa chakula na mahitaji mengine ya kibinadamu. "Mji wa Goma uko mikononi mwa waasi, hakuna tena kutoka wala kuingia, raia wanateseka hakuna chakula wala huduma za kibinadamu,” alisema kiongozi wa eneo moja huko Goma, Bahala Shamavu Innocent alipozungumza na BBC. Espoir Ngalukiye, ambaye ni Kiongozi wa Upinzani kutoka Chama cha Ensemble pour la Republique, naye alionyesha hofu ya kukosekana chakula kwa raia jambo linalohatarisha maisha yao. "Hatuko salama eneo lote la Goma,” alisema Ngalukiye, huku akiongeza kuwa hakuna raia aliyepo Goma ambaye atakuambia kuwa hana hofu ndani yake. Tayari Marekani, Uingereza na Ufaransa zimeshatoa tangazo la kuwataka raia wake walioko DRC kuondoka haraka iwezekanavyo. Meja Jenerali, Cirimwami alitangazwa kuwa Gavana wa Kivu Kaskazini mwaka 2023, akikabidhiwa jukumu ya kuwatokomeza wapiganaji wa M23, huku uteuzi wake ukikosolewa vikali na Umma wa eneo hilo. Baada ya uteuzi huo, Cirimwami alitajwa kwenda kinyume na Mteuzi wake, Rais Tshisekedi kwa kile kinachotajwa ni kuanza kushirikiana na Kundi la FDLR kupiigana na waasi hao wa M23, kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa. BBC imeripoti kuwa baadhi ya viongozi kundi la FDLR wanahusishwa na tukio la mauaji ya kimbali yaliyotokea nchini Rwanda mwaka 1994 huku kundi hilo likituhumiwa pia kuhusika katika mauaji ya raia nchini DRC. Imeandikwa na Mgongo Kaitira kwa msaada wa Mashirika.

Comments
  • 🔴🔥04/02/26 | URGENT RDC M23 : ACTUALITÉS À LA UNE CE MERCREDI 8 часов назад
    🔴🔥04/02/26 | URGENT RDC M23 : ACTUALITÉS À LA UNE CE MERCREDI
    Опубликовано: 8 часов назад
  • NIVIRIYE MURI DRC KD INTAMBARA IRAHARI😳TWAHAMAGAJE TSHISEKED KD YAHAGEZE 3 часа назад
    NIVIRIYE MURI DRC KD INTAMBARA IRAHARI😳TWAHAMAGAJE TSHISEKED KD YAHAGEZE
    Опубликовано: 3 часа назад
  • Madereva watanzania waliotekwa Congo wasimulia ilivyotokea mpaka kuokolewa kwao 9 лет назад
    Madereva watanzania waliotekwa Congo wasimulia ilivyotokea mpaka kuokolewa kwao
    Опубликовано: 9 лет назад
  • УТРАЧЕННЫЕ ГОРОДА | Найденные места исчезнувших цивилизаций 1 год назад
    УТРАЧЕННЫЕ ГОРОДА | Найденные места исчезнувших цивилизаций
    Опубликовано: 1 год назад
  • MJUE SULTANI MAKENGA GENERALI wa M23 ANAYEPASUA VICHWA vya MARAIS AKIELEKEA KUICHUKUA KINSHASA... 1 год назад
    MJUE SULTANI MAKENGA GENERALI wa M23 ANAYEPASUA VICHWA vya MARAIS AKIELEKEA KUICHUKUA KINSHASA...
    Опубликовано: 1 год назад
  • RD Congo : la ville de Goma encerclée par le M23 1 год назад
    RD Congo : la ville de Goma encerclée par le M23
    Опубликовано: 1 год назад
  • Экстренное решение Минобороны / Отвод войск? 3 дня назад
    Экстренное решение Минобороны / Отвод войск?
    Опубликовано: 3 дня назад
  • IKI GITONDO LE 4|2|2026 IBYU RWANDA, BURUNDI, UGANDA NA CONGO BIRAHINDUTSE, M23 NA MUHOOZI BARAKAYE 19 часов назад
    IKI GITONDO LE 4|2|2026 IBYU RWANDA, BURUNDI, UGANDA NA CONGO BIRAHINDUTSE, M23 NA MUHOOZI BARAKAYE
    Опубликовано: 19 часов назад
  • РАСКОРОНОВАННЫЕ ВОРЫ В ЗАКОНЕ: Почему Их Опустили и Что С Ними Стало 3 дня назад
    РАСКОРОНОВАННЫЕ ВОРЫ В ЗАКОНЕ: Почему Их Опустили и Что С Ними Стало
    Опубликовано: 3 дня назад
  • Machafuko DRC: Je chimbuko la vita kati ya M23 na DRC  ni nini? 1 год назад
    Machafuko DRC: Je chimbuko la vita kati ya M23 na DRC ni nini?
    Опубликовано: 1 год назад
  • Nini Chanzo cha VITA Visivyoisha Nchini CONGO? Huu ndio UKWELI Unaouma! 1 год назад
    Nini Chanzo cha VITA Visivyoisha Nchini CONGO? Huu ndio UKWELI Unaouma!
    Опубликовано: 1 год назад
  • Siri Nzito ya Kifo cha Gavana wa Kivu kaskazini , Ni M23 au usaliti wa ndani? 1 год назад
    Siri Nzito ya Kifo cha Gavana wa Kivu kaskazini , Ni M23 au usaliti wa ndani?
    Опубликовано: 1 год назад
  • Mapigano makali DRC mashariki DiraTV Ijumaa 24/01/2025 Трансляция закончилась 1 год назад
    Mapigano makali DRC mashariki DiraTV Ijumaa 24/01/2025
    Опубликовано: Трансляция закончилась 1 год назад
  • M23 yashambulia GOMA  DRC  DiraTV Jumatatu 27/01/2025 Трансляция закончилась 1 год назад
    M23 yashambulia GOMA DRC DiraTV Jumatatu 27/01/2025
    Опубликовано: Трансляция закончилась 1 год назад
  • DR Congo News LIVE: M23 Rebels March into Goma, Thousands Flee | Rwanda-DRC Tension | N18G Трансляция закончилась 1 год назад
    DR Congo News LIVE: M23 Rebels March into Goma, Thousands Flee | Rwanda-DRC Tension | N18G
    Опубликовано: Трансляция закончилась 1 год назад
  • UCHAMBUZI: SIRI NZITO MGOGORO WA RWANDA NA CONGO YAFICHUKA,  SHAMBULIO LAJERUHI MAKUMI YA WATU 1 год назад
    UCHAMBUZI: SIRI NZITO MGOGORO WA RWANDA NA CONGO YAFICHUKA, SHAMBULIO LAJERUHI MAKUMI YA WATU
    Опубликовано: 1 год назад
  • Wanajeshi wa FARDC waukimbia mji wa Goma 1 год назад
    Wanajeshi wa FARDC waukimbia mji wa Goma
    Опубликовано: 1 год назад
  • Почки скажут вам: всего 1 стакан перед сном и ночные походы в туалет исчезнут | ПАМЯТЬ И МОЗГ 3 недели назад
    Почки скажут вам: всего 1 стакан перед сном и ночные походы в туалет исчезнут | ПАМЯТЬ И МОЗГ
    Опубликовано: 3 недели назад
  • Wanajeshi wa TANZANIA washambuliwa CONGO Na waasi. 4 года назад
    Wanajeshi wa TANZANIA washambuliwa CONGO Na waasi.
    Опубликовано: 4 года назад
  • ДНК армян — одно из генетических чудес планеты 1 месяц назад
    ДНК армян — одно из генетических чудес планеты
    Опубликовано: 1 месяц назад

Контактный email для правообладателей: u2beadvert@gmail.com © 2017 - 2026

Отказ от ответственности - Disclaimer Правообладателям - DMCA Условия использования сайта - TOS



Карта сайта 1 Карта сайта 2 Карта сайта 3 Карта сайта 4 Карта сайта 5