У нас вы можете посмотреть бесплатно RC Kheri James Afanya Ziara ya Kushtukiza, Akuta hakuna kilichofanyika Mradi aliotolea maagizo или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amefanya Ziara ya kushtukiza na kubaini kwamba hakuna kilichofanyika kutekeleza maagizo aliyoyatoa kwenye mradi wa Ujenzi wa Bweni la wanafunzi katika Shule ya Sekondari Lugalo iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, licha ya kwamba tayari Serikali imetoa kiasi cha Shillingi Milioni 159 kukamilisha mradi huo ambao mpaka Sasa unasuasua kwa madai ya kwamba Wazabuni wamegoma kuendelea kutoa huduma kwasababu bado hawajapata malipo yao ya kazi waliyofanya kwenye Miradi iliyopita katika Halmashauri hiyo. Focus TV ni chombo cha habari cha mtandaoni kinachorusha Maudhui yanayohusu Habari, Mitindo ya Maisha, Utamaduni, Michezo na Burudani kwa kuyaongezea thamani kwa maslahi ya umma. ................. Focus TV is one of the Best Online TV Conveying Content and adding values for the public interest. Focus TV is here to provide you with contents covering News, Education, Lifestyles, Culture, Sports and Entertainments. Focus TV imesalijiliwa Nchini Tanzania na kupewa Leseni ya kurusha maudhui mitandaoni kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA). Asante kwa kuchagua kutufuatilia | Thanks for Subscribing We Love You | Tunakupenda Regards Team Focus TV Tanzania #FocusTVTanzania