У нас вы можете посмотреть бесплатно WANANCHI WAANDAMANA NA MABANGO ROMBO KISA HAWANA UMEME TANGU UHURU или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Wananchi wanaoishi katika kijiji cha Mahorosha na Msaranga katika tarafa ya Mashati wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro wameandamana na mabango yenye jumbe mbalimbali kwa madai yakutokuwekewa umeme tangu Uhuru huku nguzo zilizowekwa chini miaka mitatu zikichukuliwa bila taarifa yeyote Meneja wa TANESCO wilaya ya Rombo Hassan Juma amekiri kuwepo kwa changamoto hiyo na kusema October mwaka huu Wananchi hao wataanza kuwekewa umeme.