У нас вы можете посмотреть бесплатно BIASHARA YA KUBADILISHA FEDHA ZA KIGENI YAWATOKEA PUANI HAWA WATU SABA/ или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
JUMLA ya wahalifu saba wamekamatwa na kufikishwa mahakamani kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara haramu ya kubadilisha fedha za kigeni kwa njia isiyo halali. Aidha kufuatia suala hilo,Serikali imewatahadhalisha wananchi kutojihusisha na biashara hiyo kinyume na utaratibu kwani vyombo vya usalama ikiwemo Jeshi la Polisi vimeongeza nguvu katika kuhakikisha biashara hiyo haramu inatokomezwa Hayo yameelezwa jijini Dodoma na waziri wa Fedha na Mipango Dk.Philip Mpango