У нас вы можете посмотреть бесплатно WANANCHI HANDENI WAJA JUU KUHUSU WATUMISHI WA HALMASHAURI. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Wananchi wa kata ya Kiva halmashauri ya wilaya ya Handeni mkoani Tanga,wamemuomba mkurugenzi wa eneo hilo,kuwachukulia hatua watumishi ambao wamepangwa kufanyakazi kwenye vijiji vyao lakini hawaonekani kazini na badala yake wanaishi sehemu nyingine. Hayo yamesemwa kwa nyakati tofauti na wananchi wa vijiji vya Kweditilibe,Kiva na Kwedibangala kwenye mkutano wa hadhara wa kushukuru wa mbunge wa jimbo hilo John Sallu na kusema kuwa moja ya changamoto walionayo ni wataalam waliopangwa kufanyakazi kwenye vijiji vyao kutoonekana.