У нас вы можете посмотреть бесплатно Viongozi wa murang'a waikosoa ODM, kwa kuipinga kukata kiti cha unaibu Rais или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Baadhi ya wabunge wa kaunti ya Murang’a wamesema kuwa hawatakubali Chama cha ODM kupewa nafasi ya unaibu Rais kwenye kinyang'anyiro cha mwaka wa 2027. Wakizungumza wakati wa ufunguzi wa ujenzi wa Makuyu ICT Hub, wamewataka viongozi wa ODM kufanya kazi na kutatua tofauti zilizoko ndani ya chama chao kabla ya kuanza kutaka nafasi ya Naibu Rais. Aidha wamemtaka rais mstaafu Uhuru Kenyatta aache kuingilia masuala ya siasa.