У нас вы можете посмотреть бесплатно UCHUNGU ANAOPATA MTU PINDI ANAPOFIKWA NA UMAUTI PART 1 или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
SHEIKH HASHIM MBONDE Allah amlipe kheri zaidi leo ametuandalia mawaidha mahususi juu ya uamauti Kwa hakika wewe utakufa, na wao watakufa. Kisha bila ya shaka mtagombana Siku ya Kiyama mbele ya Mola wenu Mlezi. Qur'an SURAT AZZUMAR [39]: 30-31 Hakika wewe, Muhammad, na wao wote mtakufa. Kisha baada ya kufa kwenu mtafufuliwa mbele ya Mwenyezi Mungu mkishitakiana nyinyi kwa nyinyi. "Mtume (salla Allahu 'alayhi wa-sallam) alipokuwa amelala katika tandiko la Mauti, ndani ya sakaratil mauti, alikuwa akijipangusa uso wake kwa maji ya baridi huku akiomba kwa Mola wake; "Ewe Mola nipunguzie maumivu ya kutokwa na roho". Ikiwa Mtume wa MwenyenziMungu aliomba hivyo, kuna hali gani baina yetu sisi!? #Uchunguwamautinasakratilmauti #mawaidhayaumauti #mawaidhayakifo #mtuanapokufa #dalilizakifo #dalilizamtuanapokufa #dalilizaumauti