У нас вы можете посмотреть бесплатно RC TABORA PAUL CHACHA AFICHUA UKWELI, MWANAMKE ALIYEDAIWA KUTEKWA 2025 ABAINIKA HAKUTEKWA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha, ameeleza tukio la mwaka 2025 kuhusu mwanamke aliyedaiwa kutekwa, ambapo baada ya uchunguzi wa kina ilibainika kuwa madai hayo hayakuwa ya kweli. RC Chacha amesema vyombo vya ulinzi na usalama vilichukua hatua za haraka kufuatilia taarifa hizo, na hatimaye kubaini mahali alikokuwa mwanamke huyo baada ya siku kadhaa za msako.