У нас вы можете посмотреть бесплатно Rais Ruto aitaka idara ya Ujasusi kuimarisha utendakazi wao или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Rais William Ruto amewataka wanachama wa sekta ya usalama nchini Kenya kuhakikisha wakenya wanaendlea kuwa na imani na utendakazi wao kwani usalama ni muhimu katika kuimarisha hadhi ya Kenya. Mkurugenzi mkuu wa idara ya ujasusi Noordin Haji pia amewataka viongozi wa bara la Afrika kuwekeza katika usalama wa bara hilo. Kauli hizi zilitolewa wakati wa mahafali ya kwanza ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Ujasusi na Utafiti NIRU.