У нас вы можете посмотреть бесплатно KAWAIDA AIBUA MAPYA YA MIKOPO "HARAKISHENI MIKOPO MLIOSITISHA VIJANA WAKOPE, TOKENI MAOFISINI" или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Chama cha Mapinduzi CCM kimeiomba Ofisi ya Rais -TAMISEMI kuharakisha mchakato wa utoaji wa mikopo ya asilimia 10 iliyositishwa ilikupisha maboresho ya utoaji wa mikopo hiyo ambapo pia ameiomba Serikali kuwapa Vijana kipaumbele kwenye miradi mbalimbali. Akiongea na Wakazi wa Mbagala Jijini Dar es salaam, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Mohamed Ali Kawaida ameiomba amesema “Niiombe Serikali, ipo Wizara imepewa utaratibu wa kuandaa mikopo kuendelea kutoka kwa Vijana, kwa sasa imesimama ili kuandaa utaratibu mzuri, Vijana tuweze kukopa, niwaombe waharakishe utaratibu huu ili Vijana tuendelee kukopa, na niombe ikianza kutoka iende kwa Vijana waliokusudiwa bila ya upendeleo" "Tuwape mikopo Vijana wenye dhamira na nia wameonesha wanataka mikopo ya kujiendeleza, tuwape mikopo kwa utayari wao na sio kwasababu ya kujuana kwetu lakini kuna Vijana hawatambui inatokaje, kuna Watu tunawalipa mishahara kila mwezi, acheni kukaa ofisini nendeni mkawaeleze Vijana ni namna gani watapata mikopo hii" "Niiombe Serikali inapotokea miradi na vitu mbalimbali Watu wa kwanza kuwapa kipaumbele wawe Vijana wa Kitanzania ili wapate ajira zao na mitaji yao na mikopo hii waweze kurejesha kwa muda: