У нас вы можете посмотреть бесплатно MIKAKATI YA SERIKALI YA KUZALISHA MAJISAFI KWA JIJI LA DODOMA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Januari 28, 2026, Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb.) pamoja na mambo mengine, amezungumzia Utekelezaji wa Miradi ya Majisafi katika Jiji la Dodoma katika Siku 100 za Uongozi wa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mhe. Aweso amesema hatua mbalimbali za kimkakati zimechukuliwa na Wizara kwa lengo la kuongeza ufanisi wa utoaji wa Huduma za Majisafi, salama na endelevu kwa wananchi wa Mijini na Vijijini ili kuboresha maisha ya wananchi kupitia Sekta ya Maji.