У нас вы можете посмотреть бесплатно Kufuru Mapokezi ya Bondia Karimu Mandonga Makambako/Wauza Chips Wapagawa/Awapagawisha Mashabiki/ или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Katika Kuendelea kumuenzi Baba wa taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Promoto wa Pambano la Ngumi za Kulipwa kutoka kampuni ya KAS ameanda pambano la ngumi za kulipwa kati ya Mandonga Mtukakazi na Musa Omary kutoka Mkoa wa Dar es Salaam ambao utafanyika Mkoa wa Njombe ukumbi wa Geen city mjini makambako, Akizungumza mara baada ya kupima ngumi za uzito kwa mabondia hao Katibu wa kamisheni wa ngumi za kulipwa Tanzania Yahaya Poli ameweka bayana juu ya pambano hilo ambalo litachezwa mjini makambako maeeneoya green city kwa kuwataka vijana kujitoke za katika fursa ya ngumi za kulipwa na kuwaomba kujitokeza katika masumbi ambayo hivi sasa yamekuwa yakiwasaidia vijana wengi kujikwimu na ajira