У нас вы можете посмотреть бесплатно Mifupa ya binadamu imepatikana eneo la Karai, Kikuyu или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Hali ya Wasiwasi imetanda katika Kijiji cha Karai, eneo bunge la Kikuyu, Kaunti ya Kiambu, baada ya mifupa inayokisiwa kuwa ya binadamu kupatikana katika uwanja wa Karai. Eneo hilo lina mabwawa na vyanzo vya maji, na hutumiwa na wakazi pamoja na watu kutoka maeneo jirani, hali inayozua wasiwasi mkubwa kuhusu usalama wao. Maafisa wa Polisi walifika katika eneo la tukio na kukusanya mifupa hiyo, ambayo imepelekwa katika maabara ya serikali kwa uchunguzi zaidi. Wakazi sasa wanatoa wito kwa serikali na mamlaka husika kuhakikisha mabwawa katika eneo hilo yanawekwa vizuizi, ili kuzuia visa vya watu kutumbukia humo