У нас вы можете посмотреть бесплатно Kwa nini waangalizi wanasema uchaguzi wa Tanzania ulikuwa na dosari? или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mashirika yaliyoshiriki katika shughuli ya uangalizi wa uchaguzi wa Tanzania yanasema uchaguzi haukuwa huru na wa haki. Hii leo, waangalizi kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki wamesema kuwa hawakuweza kupepeleza zoezi la kuhesabiwa kwa kura katika baadhi ya vituo vya upigaji kura. Aidha wamesema kuwa katika vituo vingi vya kupiga kura, hakukuwa na foleni ndefu za watu wakisubiri kupiga kura. #DiraYaDuniaTV