У нас вы можете посмотреть бесплатно MAMBO MATATU ALIYOPEWA KOCHA GAMONDI NA WAZIRI MAKONDA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Baada ya kocha Miguel Gamondi kusaini mkataba wa miaka 2 kuifundisha timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Paul Makonda ameweka wazi mambo 3 anayopaswa kuyafanya wakati wa utendaji wa kazi yake. Miongoni mwa mambo hayo ni kuifanya Taifa Stars kuwa bora kuliko mwanzo, kufuatilia wachezaji wenye vipaji ambao ni raia wa Tanzania walioko nje ya nchi na kuwaita kutumikia timu ya taifa na kuandaa programu nyingi za kujenga uwezo wa vijana. Mhariri | @rajjmsangi #UFMUpdates