У нас вы можете посмотреть бесплатно Jamii ya wafugaji Wabarbaig wagoma kuzika miili ya ndugu zao wawili kwa zaidi ya siku tano или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Licha ya serikali mkoani Pwani kuahidi kutoa huduma za maziko ikiwemo majeneza mawili gari na chakula jamii ya wafugaji Wabarbaig wamegoma kuzika miili ya ndugu zao wawili kwa zaidi ya siku tano sasa hadi waziri wa mambo ya ndani na wa mifugo na kilimo watakapokwenda kijiji cha Kidomole relini Bagamoyo kueleza ufumbuzi juu ya matatizo yanayowakabili ikiwa ni pamoja na mauaji wanayodai yanafanywa na polisi kwa kisingizio cha opereseheni ondoa mifugo.