У нас вы можете посмотреть бесплатно Onyo la Rais Samia kwa Kanisa Katoliki na viongozi wengine wa Dini kuingilia siasa. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
katika maadhimisho la MEI Mosi Rais Samia akiwa Mkoani Singida hajaacha kuwakanya viongozi wa Dini kuacha kutumia Siasa katika Membari za Dini. Hivi karibuni Katibu wa Baraza la maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania Askofu Kitima alishamburiwa na watu wawili wasiojulikana katika Mgahawa ulioko makao makuu ya Baraza hilo Dar es Salaam. Aidha Baraza hilo limekuwa likikosoa mwenendo wa siasa nchini hasa katika suala la maridhiano na kupatikana kwa tume huru ya uchaguzi. itakumbukwa kwamba manmo Oktoba 2025 Tanzania itaingia katika zoezi la uchaguzi mkuu wa Nchi. #uchaguzi #election #chadema #lissu #ccm #police #kitima