У нас вы можете посмотреть бесплатно BIASHARA 5 ZITAKAZO KUINGIZIA MILIONI 2 KWA MWEZI BILA KUWA NA MTAJI или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Watu wengi bado wapo kwenye umasikini wa kutisha. Ni Watanzania wachache sana wanaweza kuwa na milioni moja ya akiba benki baada ya kupambana mwaka mzima. Si kwamba watu wanapenda kuwa katika hali duni, kuishi katika umaskini na kuwarithisha watoto wao umaskini. HAPANA. Ukweli ni kwamba watu wengi wanakosa 1. Elimu ya fedha, biashara, uchumi binafsi na ujasiriamali 2. Kanuni na mbinu za kufanya biashara 3. Mtaji wa kuanzia biashara Katika hii video nitakusaidia wewe kijana kutatua swali gumu zaidi katika maisha yako ya kutafuta pesa, nitakufungua macho na kukuonesha biashara tano unazoweza kuzifanya katika dunia ya leo, zinazoweza kukuingizia milioni 2 kwa mwezi na hazihitaji mtaji wowote.