У нас вы можете посмотреть бесплатно Alichokifanya Dr Tulia kwa watoto wenye ulemavu Mbeya или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
March 8, 2018 Naibu Spika Dr Tulia Ackson alisafiri hadi katika shule ya msingi Katumba II yenye mchanganyiko wa wanafunzi wakiwemo walemavu mbalimbali iliyopo Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya ambapo alienda kutoa msaada wa vifaa ikiwemo baiskeli 10 za walemavu, mafuta ya walemavu wa ngozi, kofia, karatasi kwa ajili ya wasioona Pia Dr Tulia kwa kupitia taasisi yake ya TULIA TRUST ameahidi kujenga darasa la watoto wenye ulemavu wa akili pamoja na kuboresha miundombinu katika shule hiyo.