У нас вы можете посмотреть бесплатно Bhuhongo Ng‘wana Ngelela x Bhudagala Umasikini(audio_official)Prod..0789811605 barozi wa watu weusi или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
@bhudagalamwanamalonja9582 Bhuhongo Ng'wana Ngelela X Bhudagala Umasikini AIDIA YA WIMBO HUU wazo la ujumbe huu lilitolewa na Bhuhongo ila likafanyiwa marekebisho na Bhudagala BEFORE Mwanzo Bhuhongo alitowa aidia ya wimbo alitaka ujumbe uitwe BHUHABHE AFTER Bhudagala akatowa kama ushauri ni bora nyimbo iitwe UMASIKINI kwasababu bhudagala teyali ananyimbo nyingine yenye ujumbe uitwao BHUHABHE JINA LIKAPITISHWA LA UMASIKINI MASWALI YENU? 1.Kwa nini Bhuhongo atowe aidia inayofanana ujumbe na nyimbo ya Bhudagala MAJIBU YENU ! Bhuhongo kutokana na Changamoto nyingi alizowahi kukutana nazo katika safari yake ya MZIKI na maisha yake Binafsi alitamani sana aimbe ujumbe mzuri angarau ungefanana au kuuzidi kabisa ujumbe wa @kisimamajabala135 Uitwao Shukurani kwa SUMBU ila kwakuwa hakuwa na History yoyote ambayo ingemuunganisha yeye na Bhudagala angefanya iwe kivutio kwa mashabiki zake pamoja na mashabiki wa Bhudagala ikambidi Bhuhongo afkilie aidia ambayo itawasilisha Hisia zake MASWALI YENU 2? Kwanini mwanzo wa nyimbo Bhuhongo anajitambulisha jina lake alafu anasema Niko nae Bhudagala mtoto wa Malonja kijana wa mtoto wa sabuni niko nae kaka angu tunaongelea Umasikini???_____ Alafu Bhudagala ilipofka zamu yake wakati wakujitambulisha akatambulisha majina yake kisha akasema Leo naongelea Umasikini ndugu zangu??__ 2. kwanini Bhuhongo Aseme tunaongelea umasikini alafu bhudagala akhanushe aseme ninaongelea umasikini MAJIBU YA MASWALU YENU2! Uchunguzi unaonesha Kabisa Umasikini aluokuwa anauzungumzia Bhudagala ni tofauti na umasikini wa Bhuhongo kwa sababu Bhudagala alikua anaimba ujumbe wakufkilika huku akiwashauli watu wapambane wajitume huku akiwakumbusha walikuwepo masikini sana leo wameshaga funguliwa mkono wa mungu hauzibwi ata kwa dawa kama umepangiwa vema hawezi kupata kosa hiyo ni baadhi ya mistali ya bhudagala Akiuzungumzia umasikini kiundani zaidi Bhuhongo mistari kidogo ya bhuhongo sana amezungumzia msaisha yake na amilia yake kiujumla tena huku akimuomba Bhudagala Amsaidie alafu tukumbuke bhuhongo alikua na ziala ya Show alioifanya yeye akiwa na Nduta Ze Doni ko amezungumzia changamoto ya maisha yake kwaamba anategemewa na mzazi wake pamoja na ziala yake ya show hali ilivokuwa mbaya lakini akaongezea kwaamba wadogo zake bado wapo shule na wanamtegemea yeye Sikiliza majibu ya Mfalme wa mziki huu wenye vionjo vya asili Bhudagala alivomjibu jibu la kitaaramu kiufundi zaidi Punguza kulia kijana Bhuhongo mtpto wa ngelela vipaji vingi vinatoka kwenye familia masikini watu maarufu wengi wanatoka kwenye familia masikini kikubwa ni kumuomba mungu tu MAANA YA UCHAMBUZI HUU NIKULIJUWA LENGO LA AIDIA HUJ JE NI AIDIA YA ENYE STORY YA KWELI AU NI STORY YAKUFKILIKA JIBU NI KWAAMBA KUNA STORY AINA MBILI YAANA TRUE STORY NA STORY YA KUBUNI MWISHO WA UCHAMBUZI Kam Na wewe kuna hoja umepata juu ya wimbo huu Comnent hapo chini tushauliane zaidi Producer by Black Nyene (Barozi wawatu weusi) Or Director Viga_Nyene Karibuni studio kwetu +255789811605 new song @copylight2023