У нас вы можете посмотреть бесплатно Cheki jinsi mapadre 13 Katoliki Moshi walivyolala kifudifudi ishara ya kumtolea Mungu maisha yao. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mashemasi 13 wa jimbo Katoliki la Moshi wamekula kiapo cha daraja Takatifu la upadre wakiwa wamelala kifudifudi kama ishara ya kujitolea maisha yao kwa Mungu.Ibada ya upadirisho imefanyika leo Agosti 12 katika Parokia ya Kristu Mfalme Mjini Moshi.Ibada hiyo ya upadirisho imeongozwa na Askofu wa jimbo katoliki la Moshi,Askofu Ludovick Minde na kuhudhuriwa na mapadre wa jimbo pamoja na waumini wa kanisa hilo.