У нас вы можете посмотреть бесплатно DUH! MWALI ASIMULIA JINSI WAKWE ZAKE WALIVYOFARIKI BAADA YA KULA CHAKULA ALICHOPIKA MCHANA ARUSHA. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Kufuatia tukio la watu wawili ambao ni mke na mume wanaofahamika kwa majina Ester Ndosi (62) na Mathayo Kefasi (66) wakazi wa kata ya Engutoto wilaya ya Monduli mkoani Arusha, kufariki dunia kwa madai kuwa ni baada ya kula majani ya mmea ulioupikwa ukidhaniwa ni mboga aina sukuma wiki, Mwali wa familia hiyo amesimulia jinsi ilivyokuwa hadi umauti wa Wakwe zake. #breakingnews #live #latestnews #news #like #livestream GADI TV ndiyo Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kwa huduma ya Matangazo au Habari pamoja na maoni na ushauri usisite kuwasiliana nasi kupitia namba za simu +255 769 780 063 au e-mail: [email protected] Don't forget to SUBSCRIBE, LIKE, COMMENT and SHARE!!! # GADI TV Thanks.