У нас вы можете посмотреть бесплатно Bomba la mafuta ghafi kutoka Uganda laanza kuleta neema kwa Tanzania или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mradi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Uganda mpaka Chongoleani Tanga umeanza kuonesha tija baada ya serikali kupata Shilingi Bilioni 30 itakanayo na kodi iliyokusanywa na mamlaka ya mapato nchini (TRA). Kamati ya kudumu ya Bunge, Uwekezaji na Mitaji ya Umma imetembelea katika eneo hilo la Chongoleani na kujionea shughuli za awali zinazofanyika ikwemo ujenzi wa matenki ya kuhifadhia mafuta.