У нас вы можете посмотреть бесплатно KESI YA UCHOCHEZI DHIDI YA LISSU, YALIYOJIRI MAHAKAMANI или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirisha kesi ya uchochezi inayomkabili Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu hadi Septemba 23, 2019 kwa yupo nje ya nchi kimatibabu. Wakili wa Serikali, Sylivia Mitando amemueleza Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba kuwa shauri hilo limeitishwa kwa ajili ya kusikilizwa lakini mshitakiwa yupo nje ya Nchi kwa ajili ya matibabu, hivyo anaomba ahirisho. Baada ya maelezo hayo, Hakimu Simba ameahirisha hadi Septemba 23, 2019 kwa ajili ya kusikilizwa.