У нас вы можете посмотреть бесплатно WAKULIMA NAMTUMBO WAFURAHISHWA NA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
WAKULIMA Wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma waishukuru na kuipongeza Serikali ya awamu ya sita inayongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt, Samia Suhulu Hassan kwa kuboresha uuzaji wa mazao kupitia Mfumo wa Stakabadhi Ghalani. Hayo wamesema katika mnada wa ununuzi wa zao la ufuta katika kata ya Lisimonji Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma ambapo Kampuni ya Kinasoru East Africa (T) Ltd imenunua kilo moja ya ufuta kwa shilingi 4105 hivyo kuzishinda Kampuni 17 zilizokuwa zinashindana kwenye mnada huo.