У нас вы можете посмотреть бесплатно TAZAMA POLISI WALIVYOZINGIRA UWANJA WAKATI BILIONEA MULOKOZI AKISHUKA KWENYE HELKOPTA YAKE BABATI. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
#GADITV: Ni mkurugenzi wa kampuni ya Mati Super Brands LTD, Bilionea David Mulokozi akishuka na familia yake kwenye ndege aina ya Helkopta aliyonunua kwa ajili ya kurahisisha shughuli mbalimbali katika kampuni hiyo ambayo inajihusisha na kuzalisha vinywaji changamshi na kusambaza kwenye baadhi ya nchi barani Afrika. Bilionea Mulokozi akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kushuka katika Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo wilayani Babati mkoani Manyara amesema hatua ya kununua usafiri huo wa anga unalenga kurahisisha na kuwezesha kampuni hiyo kuwafikia wateja wao kwa haraka zaidi. Aidha, Bilionea Mulokozi amesema licha ya kwamba serikali ina mpango wa kujenga kiwanja cha ndege katika mkoa wa Manyara, ikiwezekana apewe kibali cha kujenga kiwanja hicho kwa haraka ili wananchi wanufaike kulingana na uhitaji ulipo kwasasa. Hata hivyo, Mulokozi akihojiwa na mwandishi kuhusu namna alivyopata kibali cha umiliki wa ndege binafsi, amesema kila jambo lina mchakato wake na kinachotakiwa ni kufuata taratibu na sheria za nchi ili kuweza kulifanikisha. Kadhalika, Baada ya mapokezi ya Bilionea Mulokozi katika uwanja huo, umeshuhudiwa msafara wa magari yake ya kifahari yakipita katika viunga vya mji wa Babati ukielekea katika Jumba lake la kifahari ambalo hivi karibuni lilizua gumzo mtandaoni. Bilionea Mulokozi anaingia kwenye Rekodi ya kuwa miongoni mwa matajiri wanaomiliki ndege binanfsi nchini Tanzania na Afrika kwa ujumla. GADI TV ndiyo Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kwa huduma ya Matangazo au Habari pamoja na maoni na ushauri usisite kuwasiliana nasi kupitia namba za simu +255 769 780 063 au e-mail: [email protected] Don't forget to SUBSCRIBE, LIKE, COMMENT and SHARE!!! # GADI TV Thanks. #breakingnews #live #trendingvideo #livestream #trending #trendingshorts #lifestyle #like #gadi