У нас вы можете посмотреть бесплатно BOT yanawatoa hofu Watanzania kuhusu kubadilisha sarafu na noti или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Benki Kuu ya Tanzania imesema utaratibu wa kubadilisha sarafu na noti ni wa kawaida kufanyika, lakini imesisitiza kuwa watu ambao watakuwa hawajarejesha fedha za zamani zilizotangazwa kuondolewa sokoni kufikia muda uliowekwa watapata hasara. Mwishoni mwa wiki iliyopita, Benki Kuu ilitoa tangazo la kuonesha nia ya kuondoa kwenye mzunguko noti za zamani za matolea tofauti tofauti na kubaki na zile za toleo la mwaka 2010 pekee. #azamtvupdates Mhariri | John Mbalamwezi, @official_jennifersumi