У нас вы можете посмотреть бесплатно Waasi wa M23 waingia Uvira, DRC. Je, hii itasambaratisha juhudi za amani? или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda wameingia katika mji wa mashariki mwa DRC wa Uvira, kituo muhimu cha jeshi la Congo karibu na mpaka na Burundi. Milio ya risasi na milipuko ya hapa na pale imeripotiwa wakati waasi hao wakiingia katika mji huo muhimu mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, katika mashambulizi ambayo yamewalazimu maelfu ya watu kutoroka na kuvuka mpaka na kuingia Burundi. #DiraYaDuniaTV